Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kutenda uadilifu na hukumu kunampendeza Yehova kuliko dhabihu.+

  • Isaya 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Dhabihu zenu nyingi zina faida gani kwangu?” asema Yehova. “Nimetosheka na matoleo mazima ya kuteketezwa+ ya kondoo-dume+ na mafuta ya wanyama waliolishwa vizuri;+ nami sikupendezwa na damu+ ya ng’ombe-dume wachanga na wana-kondoo na mbuzi-dume.+

  • Mika 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nitamkaribia Yehova na nini?+ Nitajiinamisha na nini kwa Mungu aliye juu?+ Je, nimkaribie na matoleo mazima ya kuteketezwa,+ na ndama wenye umri wa mwaka mmoja?

  • Mathayo 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nendeni, basi, mkajifunze maana ya jambo hili, ‘Ninataka rehema, wala si dhabihu.’+ Kwa maana nilikuja kuwaita, si watu waadilifu, bali watenda-dhambi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki