39 “‘Hayo mtamtolea Yehova kwenye sherehe zenu za majira,+ mbali na matoleo yenu ya nadhiri+ na matoleo yenu ya hiari+ yakiwa matoleo yenu ya kuteketezwa+ na matoleo yenu ya nafaka+ na matoleo yenu ya kinywaji+ na dhabihu zenu za ushirika.’”+
7 Je, Yehova atapendezwa na maelfu ya kondoo-dume, na makumi ya maelfu ya mito ya mafuta?+ Je, nimtoe mwanangu mzaliwa wa kwanza kwa ajili ya maasi yangu, uzao wa tumbo langu kwa ajili ya dhambi ya nafsi yangu?+