39 “‘Mtamtolea Yehova dhabihu hizo wakati wa sherehe zenu za majira,+ mbali na dhabihu zenu za nadhiri+ na matoleo yenu ya hiari+ yakiwa dhabihu zenu za kuteketezwa;+ na pia matoleo yenu ya nafaka+ na matoleo yenu ya kinywaji+ na dhabihu zenu za ushirika.’”+