Hesabu 29:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 “‘Hayo mtamtolea Yehova kwenye sherehe zenu za majira,+ mbali na matoleo yenu ya nadhiri+ na matoleo yenu ya hiari+ yakiwa matoleo yenu ya kuteketezwa+ na matoleo yenu ya nafaka+ na matoleo yenu ya kinywaji+ na dhabihu zenu za ushirika.’”+
39 “‘Hayo mtamtolea Yehova kwenye sherehe zenu za majira,+ mbali na matoleo yenu ya nadhiri+ na matoleo yenu ya hiari+ yakiwa matoleo yenu ya kuteketezwa+ na matoleo yenu ya nafaka+ na matoleo yenu ya kinywaji+ na dhabihu zenu za ushirika.’”+