16 “‘Na ikiwa dhabihu ya toleo lake ni toleo la nadhiri+ au la hiari,+ italiwa siku atakayoitoa dhabihu yake, na kesho yake kilichobaki kinaweza kuliwa.
21 “‘Na ikiwa mtu atamtolea Yehova dhabihu ya ushirika+ ili kulipa nadhiri+ au kama toleo la hiari, atakuwa asiye na kasoro katikati ya mifugo au kundi, ili kupata kibali. Kasoro yoyote isiwe ndani yake.