23 Na kuhusu ng’ombe-dume au kondoo mwenye kiungo kirefu mno au kifupi mno,+ unaweza kumtoa awe toleo la hiari; lakini kwa ajili ya nadhiri hatapokewa kwa kibali.
6 Na hapo mtaleta matoleo yenu ya kuteketezwa na dhabihu+ zenu na sehemu zenu za kumi+ na mchango wa mkono wenu+ na matoleo yenu ya nadhiri+ na matoleo yenu ya hiari+ na wazaliwa wa kwanza wa mifugo yenu na wa kundi lenu.+