17 Hutaruhusiwa kula ndani ya malango yako sehemu ya kumi ya nafaka+ yako au ya divai yako mpya au ya mafuta yako au mzaliwa wa kwanza wa mifugo+ yako na wa kundi lako au yoyote ya matoleo yako ya nadhiri utakayoweka nadhiri au matoleo yako ya hiari+ au mchango wa mkono wako.+