Hesabu 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “‘Lakini ikiwa utatoa dume la mifugo liwe toleo la kuteketezwa+ au dhabihu ili kuweka nadhiri+ ya pekee au dhabihu za ushirika kwa Yehova,+ Kumbukumbu la Torati 23:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Ikiwa utaweka nadhiri kwa Yehova+ Mungu wako, usikawie kuitimiza,+ kwa sababu Yehova Mungu wako lazima ataitaka kutoka kwako, nayo kwa kweli itakuwa dhambi kwako.+ Zaburi 50:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Toa shukrani zikiwa dhabihu yako kwa Mungu,+Na umtimizie Aliye Juu Zaidi nadhiri zako;+ Zaburi 61:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo jina lako nitalipigia muziki milele,+Ili nipate kutimiza nadhiri zangu siku baada ya siku.+ Mhubiri 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+
8 “‘Lakini ikiwa utatoa dume la mifugo liwe toleo la kuteketezwa+ au dhabihu ili kuweka nadhiri+ ya pekee au dhabihu za ushirika kwa Yehova,+
21 “Ikiwa utaweka nadhiri kwa Yehova+ Mungu wako, usikawie kuitimiza,+ kwa sababu Yehova Mungu wako lazima ataitaka kutoka kwako, nayo kwa kweli itakuwa dhambi kwako.+
8 Kwa hiyo jina lako nitalipigia muziki milele,+Ili nipate kutimiza nadhiri zangu siku baada ya siku.+
4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+