21 “Ikiwa utaweka nadhiri kwa Yehova+ Mungu wako, usikawie kuitimiza,+ kwa sababu Yehova Mungu wako lazima ataitaka kutoka kwako, nayo kwa kweli itakuwa dhambi kwako.+
21 Na Yehova hakika atajulikana kwa Wamisri;+ na Wamisri lazima wamjue Yehova katika siku hiyo, nao watatoa dhabihu na zawadi+ nao watamwekea Yehova nadhiri na kuitimiza.+