-
Isaya 19:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Na Yehova atajulikana kwa Wamisri, na Wamisri watamjua Yehova siku hiyo, nao watatoa dhabihu na zawadi na kuweka nadhiri kwa Yehova na kuitimiza.
-