2 Mambo ya Nyakati 32:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na kulikuwa na watu wengi waliokuwa wakileta zawadi+ kwa Yehova katika Yerusalemu na vitu bora kwa Hezekia mfalme wa Yuda,+ naye akaja kuinuliwa+ machoni pa mataifa yote baada ya hayo. Zaburi 68:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa sababu ya hekalu lako katika Yerusalemu,+Wafalme watakuletea zawadi wewe mwenyewe.+ Zaburi 89:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mungu anapaswa kupewa heshima katikati ya kikundi cha rafiki za karibu cha watakatifu;+Yeye ni mkuu na mwenye kuogopesha juu ya wote wanaomzunguka pande zote.+
23 Na kulikuwa na watu wengi waliokuwa wakileta zawadi+ kwa Yehova katika Yerusalemu na vitu bora kwa Hezekia mfalme wa Yuda,+ naye akaja kuinuliwa+ machoni pa mataifa yote baada ya hayo.
7 Mungu anapaswa kupewa heshima katikati ya kikundi cha rafiki za karibu cha watakatifu;+Yeye ni mkuu na mwenye kuogopesha juu ya wote wanaomzunguka pande zote.+