Zaburi 76:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wewe—ni mwenye kuogopesha,+Na ni nani anayeweza kusimama mbele zako kwa sababu ya nguvu za hasira yako?+ Isaya 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Maserafi walikuwa wamesimama juu yake.+ Kila mmoja alikuwa na mabawa sita. Aliufunika uso wake kwa mawili,+ na kwa mawili aliifunika miguu yake, na kwa mawili aliruka huku na huku.
7 Wewe—ni mwenye kuogopesha,+Na ni nani anayeweza kusimama mbele zako kwa sababu ya nguvu za hasira yako?+
2 Maserafi walikuwa wamesimama juu yake.+ Kila mmoja alikuwa na mabawa sita. Aliufunika uso wake kwa mawili,+ na kwa mawili aliifunika miguu yake, na kwa mawili aliruka huku na huku.