Kutoka 14:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Israeli wakauona pia ule mkono mkuu ambao Yehova aliufanya utende juu ya Wamisri; nao watu wakaanza kumwogopa Yehova na kuwa na imani katika Yehova na katika Musa mtumishi wake.+ Zaburi 89:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mungu anapaswa kupewa heshima katikati ya kikundi cha rafiki za karibu cha watakatifu;+Yeye ni mkuu na mwenye kuogopesha juu ya wote wanaomzunguka pande zote.+
31 Israeli wakauona pia ule mkono mkuu ambao Yehova aliufanya utende juu ya Wamisri; nao watu wakaanza kumwogopa Yehova na kuwa na imani katika Yehova na katika Musa mtumishi wake.+
7 Mungu anapaswa kupewa heshima katikati ya kikundi cha rafiki za karibu cha watakatifu;+Yeye ni mkuu na mwenye kuogopesha juu ya wote wanaomzunguka pande zote.+