Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 4:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa hiyo watu wakaamini.+ Waliposikia kwamba Yehova alikuwa amewaelekezea fikira+ wana wa Israeli na kwamba alikuwa ameyaona mateso yao,+ ndipo wakainama na kusujudu.+

  • Kutoka 19:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Tazama! Nitakujia katika wingu lenye giza,+ ili watu wapate kusikia ninaposema nawe,+ ili wapate kukuamini wewe pia mpaka wakati usio na kipimo.”+ Kisha Musa akamwambia Yehova maneno ya watu.

  • Zaburi 106:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kisha wakawa na imani katika neno lake;+

      Wakaanza kuimba sifa yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki