14 Nao wakazidi kuyafanya maisha yao yawe machungu kwa utumwa mgumu wa kutengeneza saruji ya udongo+ na matofali na kwa kila namna ya utumwa shambani,+ ndiyo, kila namna ya utumwa wao ambao kwa huo waliwatumia wakiwa watumwa chini ya uonevu.+
7 Naye Yehova akaongezea: “Pasipo shaka nimeyaona mateso ya watu wangu walio Misri, nami nimesikia kilio chao kwa sababu ya wale wanaowalazimisha kufanya kazi; kwa sababu nayajua vizuri maumivu waliyo nayo.+