Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi wakaweka juu yao wakuu wa kazi ya kulazimishwa kusudi wawakandamize katika kazi yao ya kubeba mizigo;+ nao wakajenga majiji ili yawe maghala kwa ajili ya Farao, yaani, Pithomu na Raamsesi.+

  • Kutoka 6:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nami, naam mimi, nimesikia kuugua kwa wana wa Israeli,+ ambao Wamisri wanawatumikisha, nami ninalikumbuka agano langu.+

  • Zaburi 106:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Naye akaiona taabu yao+

      Alipokisikia kilio chao cha kusihi.+

  • Isaya 63:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wakati wa taabu zao zote hilo lilimtaabisha.+ Na mjumbe wake binafsi akawaokoa.+ Katika upendo wake na katika huruma yake yeye mwenyewe aliwakomboa,+ naye akawainua na kuwachukua siku zote za zamani za kale.+

  • Matendo 7:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kwa hakika nimeona jinsi watu wangu walio Misri+ wanavyotendewa vibaya, nami nimesikia kuugua+ kwao na nimeshuka ili kuwakomboa.+ Na sasa njoo, nitakutuma uende Misri.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki