13 Naye akaanza kumwambia Abramu: “Ujue hakika kwamba uzao wako utakuwa mkaaji mgeni katika nchi isiyokuwa yao,+ nao watawatumikia watu wale, nao watawatesa kwa miaka mia nne.+
7 Naye Yehova akaongezea: “Pasipo shaka nimeyaona mateso ya watu wangu walio Misri, nami nimesikia kilio chao kwa sababu ya wale wanaowalazimisha kufanya kazi; kwa sababu nayajua vizuri maumivu waliyo nayo.+
34 Kwa hakika nimeona jinsi watu wangu walio Misri+ wanavyotendewa vibaya, nami nimesikia kuugua+ kwao na nimeshuka ili kuwakomboa.+ Na sasa njoo, nitakutuma uende Misri.’+