Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 26
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 26:1

Marejeo

  • +Kum 6:1; 18:9

Kumbukumbu la Torati 26:2

Marejeo

  • +Kut 23:19; Law 23:10; Hes 18:12; 2Nya 31:5; Ne 10:35; Met 3:9
  • +Kum 12:5; 2Nya 6:6

Kumbukumbu la Torati 26:3

Marejeo

  • +Hes 18:28
  • +Mwa 17:8; 26:3; Zb 105:11; Ebr 6:13

Kumbukumbu la Torati 26:5

Marejeo

  • +Mwa 28:5; 31:41, 42; Ho. 12:12
  • +Mwa 46:3; Mdo 7:15
  • +Mwa 46:27; Kum 7:7
  • +Kut 1:7; Kum 10:22; Zb 105:24

Kumbukumbu la Torati 26:6

Marejeo

  • +Kut 1:11; Kum 4:20

Kumbukumbu la Torati 26:7

Marejeo

  • +Kut 3:9; Zb 116:1
  • +Zb 102:20; Isa 59:1; 1Yo 5:15
  • +Kut 4:31; Mdo 7:34

Kumbukumbu la Torati 26:8

Marejeo

  • +Kut 13:3; Kum 6:21
  • +Kut 6:6; Kum 4:34
  • +Kut 15:16; Yer 32:21
  • +Kut 7:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2015, kur. 4-5

Kumbukumbu la Torati 26:9

Marejeo

  • +Kut 3:8; Kum 8:8; Eze 20:6

Kumbukumbu la Torati 26:10

Marejeo

  • +Kum 26:2
  • +Zb 95:6

Kumbukumbu la Torati 26:11

Marejeo

  • +Kum 12:7; Zb 32:11; 63:5; 68:3; Flp 4:4
  • +Kum 16:14

Kumbukumbu la Torati 26:12

Marejeo

  • +Kum 12:6; 14:22
  • +Kum 14:28
  • +Kum 14:29; Met 14:21; 1Yo 3:17

Kumbukumbu la Torati 26:13

Marejeo

  • +Yak 1:27
  • +Zb 119:141; Met 3:1; Mdo 24:16

Kumbukumbu la Torati 26:15

Marejeo

  • +Zb 102:19; Isa 40:22; 63:15
  • +Kut 23:25; Zb 28:9; 115:12
  • +Mwa 15:18; 26:3; Ebr 6:13
  • +Kum 8:8

Kumbukumbu la Torati 26:16

Marejeo

  • +Kum 4:1; 6:1; 11:1
  • +Kum 6:6; Zb 78:7; 119:34; 1Yo 5:3
  • +Kum 13:3

Kumbukumbu la Torati 26:17

Marejeo

  • +Law 10:11; 26:46; Zb 119:5
  • +Kum 13:18; Mhu 12:13
  • +Law 19:37; Zb 19:9
  • +Kum 15:5

Kumbukumbu la Torati 26:18

Marejeo

  • +Kut 19:5; Kum 14:2; Zb 135:4
  • +Kum 29:13

Kumbukumbu la Torati 26:19

Marejeo

  • +Kum 4:8; 28:1; Zb 148:14
  • +Kum 7:6; 28:9

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 26:1Kum 6:1; 18:9
Kum. 26:2Kut 23:19; Law 23:10; Hes 18:12; 2Nya 31:5; Ne 10:35; Met 3:9
Kum. 26:2Kum 12:5; 2Nya 6:6
Kum. 26:3Hes 18:28
Kum. 26:3Mwa 17:8; 26:3; Zb 105:11; Ebr 6:13
Kum. 26:5Mwa 28:5; 31:41, 42; Ho. 12:12
Kum. 26:5Mwa 46:3; Mdo 7:15
Kum. 26:5Mwa 46:27; Kum 7:7
Kum. 26:5Kut 1:7; Kum 10:22; Zb 105:24
Kum. 26:6Kut 1:11; Kum 4:20
Kum. 26:7Kut 3:9; Zb 116:1
Kum. 26:7Zb 102:20; Isa 59:1; 1Yo 5:15
Kum. 26:7Kut 4:31; Mdo 7:34
Kum. 26:8Kut 13:3; Kum 6:21
Kum. 26:8Kut 6:6; Kum 4:34
Kum. 26:8Kut 15:16; Yer 32:21
Kum. 26:8Kut 7:3
Kum. 26:9Kut 3:8; Kum 8:8; Eze 20:6
Kum. 26:10Kum 26:2
Kum. 26:10Zb 95:6
Kum. 26:11Kum 12:7; Zb 32:11; 63:5; 68:3; Flp 4:4
Kum. 26:11Kum 16:14
Kum. 26:12Kum 12:6; 14:22
Kum. 26:12Kum 14:28
Kum. 26:12Kum 14:29; Met 14:21; 1Yo 3:17
Kum. 26:13Yak 1:27
Kum. 26:13Zb 119:141; Met 3:1; Mdo 24:16
Kum. 26:15Zb 102:19; Isa 40:22; 63:15
Kum. 26:15Kut 23:25; Zb 28:9; 115:12
Kum. 26:15Mwa 15:18; 26:3; Ebr 6:13
Kum. 26:15Kum 8:8
Kum. 26:16Kum 4:1; 6:1; 11:1
Kum. 26:16Kum 6:6; Zb 78:7; 119:34; 1Yo 5:3
Kum. 26:16Kum 13:3
Kum. 26:17Law 10:11; 26:46; Zb 119:5
Kum. 26:17Kum 13:18; Mhu 12:13
Kum. 26:17Law 19:37; Zb 19:9
Kum. 26:17Kum 15:5
Kum. 26:18Kut 19:5; Kum 14:2; Zb 135:4
Kum. 26:18Kum 29:13
Kum. 26:19Kum 4:8; 28:1; Zb 148:14
Kum. 26:19Kum 7:6; 28:9
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 26:1-19

Kumbukumbu la Torati

26 “Na itatukia kwamba mwishowe utakapoingia katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa iwe urithi, nawe umeimiliki na kukaa ndani yake,+ 2 utachukua pia sehemu ya matunda ya kwanza ya mazao ya udongo, ambayo utaleta ndani kutoka katika nchi yako ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, nawe utayatia katika kikapu na kwenda mahali ambapo Yehova+ Mungu wako atachagua ili jina lake likae hapo.+ 3 Nawe utakuja kwa kuhani+ atakayekuwa akitenda katika siku hizo na kumwambia, ‘Lazima nitoe habari leo kwa Yehova Mungu wako kwamba nimekuja katika nchi ambayo Yehova aliwaapia mababu zetu kwamba atatupa sisi.’+

4 “Naye kuhani atachukua kile kikapu kutoka mkononi mwako na kukiweka mbele ya madhabahu ya Yehova Mungu wako. 5 Nawe utajibu na kusema mbele za Yehova Mungu wako, ‘Baba yangu alikuwa Msiria+ anayeangamia; naye akashuka kwenda Misri+ na kukaa huko akiwa mgeni akiwa na hesabu ndogo sana;+ lakini huko akawa taifa kubwa, lenye nguvu na lenye watu wengi.+ 6 Nao Wamisri wakaanza kututendea vibaya na kututesa na kuweka utumwa mgumu juu yetu.+ 7 Nasi tukaanza kumlilia Yehova Mungu wa mababu zetu,+ naye Yehova akaisikia sauti yetu+ na kutazama mateso yetu na taabu yetu na kukandamizwa kwetu.+ 8 Mwishowe Yehova akatuleta kutoka Misri kwa mkono wenye nguvu+ na mkono ulionyooshwa+ na kwa woga+ mkuu na kwa ishara na miujiza.+ 9 Kisha akatuleta mahali hapa na kutupa sisi nchi hii, nchi inayotiririka maziwa na asali.+ 10 Na sasa, tazama, nimeleta matunda ya kwanza ya mazao ya nchi ambayo Yehova amenipa mimi.’+

“Utayaweka mbele za Yehova Mungu wako na kuinama chini mbele za Yehova Mungu wako.+ 11 Nawe utashangilia+ mema yote ambayo Yehova Mungu wako amekupa wewe na nyumba yako, wewe na Mlawi na mkaaji mgeni aliye katikati yako.+

12 “Unapomaliza kutoa zaka ya sehemu yote ya kumi+ ya mazao yako katika mwaka wa tatu,+ mwaka wa sehemu ya kumi, utampa Mlawi pia, mkaaji mgeni, mvulana asiye na baba na mjane, nao wataila ndani ya malango yako na kujishibisha.+ 13 Nawe utasema mbele za Yehova Mungu wako, ‘Nimeondolea mbali kilicho kitakatifu kutoka katika nyumba nami pia nimempa Mlawi na mkaaji mgeni, na mvulana asiye na baba na mjane,+ kulingana na amri yako yote ambayo umenipa mimi. Sijavunja amri zako, wala sijasahau.+ 14 Sijaila wakati wa kuomboleza kwangu, wala sijaondoa sehemu yake yoyote nikiwa si safi, wala sijatoa sehemu yake yoyote kwa ajili ya yeyote aliyekufa. Nimeisikiliza sauti ya Yehova Mungu wangu. Nimefanya kulingana na yote ambayo umeniamuru. 15 Utazame chini kutoka katika makao yako matakatifu,+ mbinguni, na kuwabariki watu wako Israeli+ na udongo ambao umetupa sisi, kama vile ulivyowaapia mababu zetu,+ nchi inayotiririka maziwa na asali.’+

16 “Leo Yehova Mungu wako anakuamuru utimize haya masharti na maamuzi ya hukumu;+ nawe utazishika na kuzitimiza kwa moyo+ wako wote na nafsi yako yote.+ 17 Yehova umemfanya aseme leo kwamba atakuwa Mungu wako unapotembea katika njia zake na kushika masharti+ yake na amri+ zake na maamuzi yake ya hukumu+ na kusikiliza sauti+ yake. 18 Naye Yehova, amekufanya useme leo kwamba utakuwa kikundi cha watu wake, mali ya pekee,+ kama vile alivyokuahidi,+ na kwamba utashika amri zake zote, 19 na kwamba atakuweka wewe juu kuliko mataifa mengine yote ambayo ameyafanya,+ hilo likitokeza sifa na heshima na uzuri, huku ukijithibitisha kuwa kikundi cha watu kilicho kitakatifu kwa Yehova Mungu wako,+ kama vile ambavyo ameahidi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki