Kumbukumbu la Torati 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na kuna taifa gani kubwa lenye masharti na maamuzi ya hukumu ya uadilifu kama sheria yote hii ninayoweka mbele yenu leo?+ Kumbukumbu la Torati 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Na itatukia kwamba ikiwa hakika utaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri zake zote ninazokuamuru leo,+ Yehova Mungu wako atakuweka juu, juu ya mataifa mengine yote ya dunia.+ Zaburi 148:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye ataiinua pembe ya watu wake,+Sifa ya washikamanifu wake wote,+Ya wana wa Israeli, watu walio karibu naye.+Msifuni Yah!+
8 Na kuna taifa gani kubwa lenye masharti na maamuzi ya hukumu ya uadilifu kama sheria yote hii ninayoweka mbele yenu leo?+
28 “Na itatukia kwamba ikiwa hakika utaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri zake zote ninazokuamuru leo,+ Yehova Mungu wako atakuweka juu, juu ya mataifa mengine yote ya dunia.+
14 Naye ataiinua pembe ya watu wake,+Sifa ya washikamanifu wake wote,+Ya wana wa Israeli, watu walio karibu naye.+Msifuni Yah!+