Zaburi 145:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kazi zako zote zitakusifu, Ee Yehova,+Na washikamanifu wako watakusifu.+ Zaburi 149:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ili kutekeleza juu yao uamuzi wa hukumu ulioandikwa.+Fahari ya namna hiyo ni ya washikamanifu wake wote.+Msifuni Yah!+
9 Ili kutekeleza juu yao uamuzi wa hukumu ulioandikwa.+Fahari ya namna hiyo ni ya washikamanifu wake wote.+Msifuni Yah!+