Zaburi 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu;+Nalo anga linatangaza kazi ya mikono yake.+ Zaburi 103:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mbarikini Yehova, enyi kazi zake zote,+Katika mahali pote pa utawala wake.+Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu.+ Zaburi 104:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi, Ee Yehova!+Zote umezifanya kwa hekima.+Dunia imejaa vitu ulivyotokeza.+
22 Mbarikini Yehova, enyi kazi zake zote,+Katika mahali pote pa utawala wake.+Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu.+
24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi, Ee Yehova!+Zote umezifanya kwa hekima.+Dunia imejaa vitu ulivyotokeza.+