Zaburi 136:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yule anayezifanya mbingu kwa uelewaji:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+ Methali 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hekima Yehova mwenyewe aliuweka msingi wa dunia.+ Aliziweka mbingu imara kwa utambuzi.+ Yeremia 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yeye ndiye Mtengenezaji wa dunia kwa nguvu zake,+ Yeye anayeifanya imara nchi yenye kuzaa kwa hekima yake,+ na Yeye aliyezitandaza mbingu kwa uelewaji wake.+
5 Yule anayezifanya mbingu kwa uelewaji:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
12 Yeye ndiye Mtengenezaji wa dunia kwa nguvu zake,+ Yeye anayeifanya imara nchi yenye kuzaa kwa hekima yake,+ na Yeye aliyezitandaza mbingu kwa uelewaji wake.+