12 Yeye ndiye Mtengenezaji wa dunia kwa nguvu zake,+ Yeye anayeifanya imara nchi yenye kuzaa kwa hekima yake,+ na Yeye aliyezitandaza mbingu kwa uelewaji wake.+
6 kwa kweli kwetu sisi kuna Mungu mmoja+ aliye Baba,+ ambaye vitu vyote vimetoka kwake, na sisi kwa ajili yake;+ na kuna Bwana+ mmoja, Yesu Kristo,+ ambaye vitu vyote vimepitia kwake,+ na sisi kupitia yeye.