Matendo 17:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana kupitia kwake tuna uhai na tunaenda na kuwako,+ hata kama vile ambavyo watu fulani ambao ni washairi+ kati yenu wamesema, ‘Kwa maana sisi pia ni uzao wake.’ Waroma 11:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa sababu vitu vyote ni kutoka kwake na kwa yeye na kwa ajili yake.+ Kwake yeye na kuwe na utukufu milele.+ Amina.
28 Kwa maana kupitia kwake tuna uhai na tunaenda na kuwako,+ hata kama vile ambavyo watu fulani ambao ni washairi+ kati yenu wamesema, ‘Kwa maana sisi pia ni uzao wake.’
36 Kwa sababu vitu vyote ni kutoka kwake na kwa yeye na kwa ajili yake.+ Kwake yeye na kuwe na utukufu milele.+ Amina.