Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Anatandaza mbingu akiwa peke yake+

      Na kuyakanyaga mawimbi makubwa ya bahari;+

  • Zaburi 104:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Unayejifunika nuru kama vazi,+

      Unayezitandaza mbingu kama hema,+

  • Zaburi 136:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yule anayezifanya mbingu kwa uelewaji:+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+

  • Isaya 40:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kuna Yeye anayekaa juu ya mviringo wa dunia,+ ambayo wakaaji wake ni kama panzi, Yeye anayetandaza mbingu kama shashi bora, anayezitandaza kama hema la kukaliwa ndani,+

  • Isaya 42:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mungu wa kweli, Yehova, Muumba wa mbingu+ na Mkuu anayezitandaza;+ Yeye anayeitandaza dunia+ na mazao yake,+ Yeye anayewapa pumzi+ watu walio juu yake,+ na roho wale wanaotembea ndani yake, amesema hivi:+

  • Isaya 45:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mimi mwenyewe nimeifanya dunia+ nami nimemuumba mwanadamu juu yake.+ Mimi—mikono yangu mwenyewe imezitandaza mbingu,+ nami nimeliamuru jeshi lake lote.”+

  • Zekaria 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Tangazo:

       “Neno la Yehova kuhusu Israeli,” asema Yehova, Yeye anayetandaza mbingu+ na kuweka msingi wa dunia+ na kufanyiza roho+ ya mwanadamu ndani yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki