Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Anatandaza mbingu akiwa peke yake+

      Na kuyakanyaga mawimbi makubwa ya bahari;+

  • Ayubu 38:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Nilipoliweka wingu liwe vazi lake

      Na giza zito liwe utepe wake wa kufungia,

  • Isaya 42:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mungu wa kweli, Yehova, Muumba wa mbingu+ na Mkuu anayezitandaza;+ Yeye anayeitandaza dunia+ na mazao yake,+ Yeye anayewapa pumzi+ watu walio juu yake,+ na roho wale wanaotembea ndani yake, amesema hivi:+

  • Isaya 44:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Yehova, Mkombozi+ wako na Mfanyizaji wako tangu tumboni, amesema hivi: “Mimi, Yehova, ninafanya mambo yote, mimi peke yangu ninazitandaza mbingu,+ na kuitandaza dunia.+ Ni nani aliyekuwa pamoja nami?

  • Yeremia 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yeye ndiye Mtengenezaji wa dunia kwa nguvu zake,+ Yeye anayeifanya imara nchi yenye kuzaa kwa hekima yake,+ na Yeye aliyezitandaza mbingu kwa uelewaji wake.+

  • Zekaria 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Tangazo:

       “Neno la Yehova kuhusu Israeli,” asema Yehova, Yeye anayetandaza mbingu+ na kuweka msingi wa dunia+ na kufanyiza roho+ ya mwanadamu ndani yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki