Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 102:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Wewe uliiweka misingi ya dunia zamani za kale,+

      Nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.+

  • Zaburi 136:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Yule anayeitandaza dunia juu ya maji:+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+

  • Isaya 45:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana Yehova, Muumba wa mbingu,+ Yeye Mungu wa kweli,+ Mfanyizaji wa dunia na Mtengenezaji wake,+ Yeye aliyeifanya imara,+ ambaye hakuiumba tu bila sababu, ambaye aliiumba ili ikaliwe na watu,+ amesema hivi: “Mimi ni Yehova, wala hakuna mwingine.+

  • Isaya 48:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na zaidi ya hayo, mkono wangu mwenyewe uliuweka msingi wa dunia,+ na mkono wangu mwenyewe wa kuume ulizitandaza mbingu.+ Ninaziita, ili ziendelee kusimama pamoja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki