Mwanzo 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ndipo akambariki na kusema: “Abarikiwe Abramu wa Mungu Aliye Juu Zaidi,+Yeye aliyezitokeza mbingu na dunia;+ Zaburi 102:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Wewe uliiweka misingi ya dunia zamani za kale,+Nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.+ Ufunuo 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 naye akaapa kwa Yule anayeishi+ milele na milele,+ aliyeiumba mbingu na vitu vilivyo ndani yake na dunia+ na vitu vilivyo ndani yake na bahari na vitu vilivyo ndani yake:+ “Hakutakuwa tena na kukawia;+
19 Ndipo akambariki na kusema: “Abarikiwe Abramu wa Mungu Aliye Juu Zaidi,+Yeye aliyezitokeza mbingu na dunia;+ Zaburi 102:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Wewe uliiweka misingi ya dunia zamani za kale,+Nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.+ Ufunuo 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 naye akaapa kwa Yule anayeishi+ milele na milele,+ aliyeiumba mbingu na vitu vilivyo ndani yake na dunia+ na vitu vilivyo ndani yake na bahari na vitu vilivyo ndani yake:+ “Hakutakuwa tena na kukawia;+
6 naye akaapa kwa Yule anayeishi+ milele na milele,+ aliyeiumba mbingu na vitu vilivyo ndani yake na dunia+ na vitu vilivyo ndani yake na bahari na vitu vilivyo ndani yake:+ “Hakutakuwa tena na kukawia;+