Zaburi 115:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ninyi ndio mliobarikiwa na Yehova,+Mtengenezaji wa mbingu na dunia.+ Ufunuo 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 naye akaapa kwa Yule anayeishi+ milele na milele,+ aliyeiumba mbingu na vitu vilivyo ndani yake na dunia+ na vitu vilivyo ndani yake na bahari na vitu vilivyo ndani yake:+ “Hakutakuwa tena na kukawia;+
6 naye akaapa kwa Yule anayeishi+ milele na milele,+ aliyeiumba mbingu na vitu vilivyo ndani yake na dunia+ na vitu vilivyo ndani yake na bahari na vitu vilivyo ndani yake:+ “Hakutakuwa tena na kukawia;+