25 ‘ “Kwa maana mimi mwenyewe, Yehova, nitasema neno nitakalosema, nalo litafanywa.+ Hakutakuwa na kucheleweshwa tena,+ kwa maana katika siku zenu,+ Ee nyumba yenye kuasi, nitasema neno na kulifanya hakika,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’ ”
3 Kwa maana maono hayo bado ni ya wakati uliowekwa,+ nayo yanafanya haraka kuelekea mwisho, wala hayatasema uwongo. Hata yakikawia, endelea kuyatarajia; kwa maana bila shaka yatatimia.+ Hayatachelewa.