Zaburi 97:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+Uadilifu na hukumu ni mahali palipofanywa imara pa kiti chake cha ufalme.+ Zaburi 145:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yehova ni mwadilifu katika njia zake zote+Na mshikamanifu katika kazi zake zote.+ Isaya 51:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Uadilifu wangu uko karibu.+ Wokovu+ wangu hakika utatoka, na mikono yangu itavihukumu vikundi vya watu.+ Visiwa vitanitumaini mimi,+ navyo vitaungojea mkono wangu.+
2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+Uadilifu na hukumu ni mahali palipofanywa imara pa kiti chake cha ufalme.+
5 Uadilifu wangu uko karibu.+ Wokovu+ wangu hakika utatoka, na mikono yangu itavihukumu vikundi vya watu.+ Visiwa vitanitumaini mimi,+ navyo vitaungojea mkono wangu.+