Isaya 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+ Isaya 56:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Yehova amesema hivi: “Shikeni haki,+ na mfanye yaliyo ya uadilifu.+ Kwa maana wokovu wangu unakaribia kuingia,+ na uadilifu wangu kufunuliwa.+
2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+
56 Yehova amesema hivi: “Shikeni haki,+ na mfanye yaliyo ya uadilifu.+ Kwa maana wokovu wangu unakaribia kuingia,+ na uadilifu wangu kufunuliwa.+