Isaya 46:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nimeuleta karibu uadilifu wangu.+ Hauko mbali,+ na wokovu wangu hautachelewa.+ Nami nitaleta wokovu katika Sayuni, na kwa Israeli uzuri wangu.”+ Waroma 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 kwa maana katika hiyo uadilifu+ wa Mungu unafunuliwa kwa sababu ya imani+ na kuelekea imani, kama vile ilivyoandikwa: “Lakini mwadilifu—ataishi kwa njia ya imani.”+
13 Nimeuleta karibu uadilifu wangu.+ Hauko mbali,+ na wokovu wangu hautachelewa.+ Nami nitaleta wokovu katika Sayuni, na kwa Israeli uzuri wangu.”+
17 kwa maana katika hiyo uadilifu+ wa Mungu unafunuliwa kwa sababu ya imani+ na kuelekea imani, kama vile ilivyoandikwa: “Lakini mwadilifu—ataishi kwa njia ya imani.”+