Habakuki 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Tazama! Nafsi yake imejivuna;+ haikuwa nyoofu ndani yake. Lakini mwadilifu, ataendelea kuishi kwa uaminifu wake.+ Wagalatia 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tena, kwamba hakuna yeyote ambaye kwa njia ya sheria hutangazwa kuwa mwadilifu+ kwa Mungu ni wazi, kwa maana “mwadilifu ataishi kwa sababu ya imani.”+ Waebrania 10:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Lakini mwadilifu wangu ataishi kwa sababu ya imani,”+ na, “akirudi nyuma kwa kutetemeka, nafsi yangu haipendezwi naye.”+
4 “Tazama! Nafsi yake imejivuna;+ haikuwa nyoofu ndani yake. Lakini mwadilifu, ataendelea kuishi kwa uaminifu wake.+
11 Tena, kwamba hakuna yeyote ambaye kwa njia ya sheria hutangazwa kuwa mwadilifu+ kwa Mungu ni wazi, kwa maana “mwadilifu ataishi kwa sababu ya imani.”+
38 “Lakini mwadilifu wangu ataishi kwa sababu ya imani,”+ na, “akirudi nyuma kwa kutetemeka, nafsi yangu haipendezwi naye.”+