20 Lakini moyo wake ulipojivuna na roho yake ikawa ngumu, akatenda kwa kimbelembele,+ alishushwa kutoka katika kiti cha ufalme wake, akaondolewa heshima yake.+
14 Ninawaambia ninyi, Mtu huyu alishuka kwenda nyumbani kwake akiwa amethibitishwa kuwa mwadilifu+ zaidi kuliko yule mwingine; kwa sababu kila mtu anayejiinua atafedheheshwa, bali yule anayejinyenyekeza atainuliwa.”+