13 Kwa habari yako, wewe umesema moyoni mwako, ‘Nitaenda juu mbinguni.+ Nitakiinua kiti changu cha ufalme+ juu ya nyota+ za Mungu, nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano,+ katika sehemu za mbali zaidi za kaskazini.+
30 Mfalme alikuwa anasema:+ “Je, hili si Babiloni Mkubwa, ambalo mimi mwenyewe nimelijenga kwa ajili ya nyumba ya kifalme kwa nguvu za uwezo wangu+ na kwa ajili ya heshima ya utukufu wa enzi yangu?”+
8 Ee mtu wa udongo, yeye amekuambia yaliyo mema.+ Na Yehova anataka nini kutoka kwako ila kutenda haki+ na kupenda fadhili+ na kuwa na kiasi+ katika kutembea na Mungu wako?+