Methali 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yehova ataibomoa nyumba ya watu waliojiinua,+ lakini atauweka imara mpaka wa mjane.+ Isaya 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ole wake mtu mwovu!—Msiba; kwa maana matendo yaliyotendwa kwa mikono yake mwenyewe atalipwa yeye!+ Waroma 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 hata hivyo, kwa wale wenye ugomvi+ na wale wasioitii kweli+ bali hutii ukosefu wa uadilifu kutakuwa na ghadhabu na hasira,+
11 Ole wake mtu mwovu!—Msiba; kwa maana matendo yaliyotendwa kwa mikono yake mwenyewe atalipwa yeye!+
8 hata hivyo, kwa wale wenye ugomvi+ na wale wasioitii kweli+ bali hutii ukosefu wa uadilifu kutakuwa na ghadhabu na hasira,+