Zaburi 28:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Uwape kulingana na matendo yao+Na kulingana na ubaya wa mazoea yao.+Uwape kulingana na kazi ya mikono yao.+Uwalipe matendo yao wenyewe.+ Zaburi 62:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Pia fadhili zenye upendo ni zako, Ee Yehova,+Kwa maana wewe mwenyewe humlipa kila mmoja kulingana na kazi yake.+ 2 Wakorintho 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana sisi sote lazima tufunuliwe mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo,+ ili kila mmoja apate thawabu yake kwa ajili ya mambo yaliyofanywa kupitia mwili, kulingana na mambo ambayo ametenda, kama ni mema au ni maovu.+ 2 Timotheo 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Aleksanda+ yule fundi wa shaba alinitendea mimi mambo mengi mabaya—Yehova atamlipa kulingana na vitendo vyake+— Yakobo 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana yeye asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atapata hukumu yake bila rehema.+ Rehema hufurahi kwa njia ya ushindi juu ya hukumu.
4 Uwape kulingana na matendo yao+Na kulingana na ubaya wa mazoea yao.+Uwape kulingana na kazi ya mikono yao.+Uwalipe matendo yao wenyewe.+
12 Pia fadhili zenye upendo ni zako, Ee Yehova,+Kwa maana wewe mwenyewe humlipa kila mmoja kulingana na kazi yake.+
10 Kwa maana sisi sote lazima tufunuliwe mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo,+ ili kila mmoja apate thawabu yake kwa ajili ya mambo yaliyofanywa kupitia mwili, kulingana na mambo ambayo ametenda, kama ni mema au ni maovu.+
14 Aleksanda+ yule fundi wa shaba alinitendea mimi mambo mengi mabaya—Yehova atamlipa kulingana na vitendo vyake+—
13 Kwa maana yeye asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atapata hukumu yake bila rehema.+ Rehema hufurahi kwa njia ya ushindi juu ya hukumu.