Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 28:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Uwape kulingana na matendo yao+

      Na kulingana na ubaya wa mazoea yao.+

      Uwape kulingana na kazi ya mikono yao.+

      Uwalipe matendo yao wenyewe.+

  • Zaburi 62:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Pia fadhili zenye upendo ni zako, Ee Yehova,+

      Kwa maana wewe mwenyewe humlipa kila mmoja kulingana na kazi yake.+

  • 2 Wakorintho 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana sisi sote lazima tufunuliwe mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo,+ ili kila mmoja apate thawabu yake kwa ajili ya mambo yaliyofanywa kupitia mwili, kulingana na mambo ambayo ametenda, kama ni mema au ni maovu.+

  • 2 Timotheo 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Aleksanda+ yule fundi wa shaba alinitendea mimi mambo mengi mabaya—Yehova atamlipa kulingana na vitendo vyake+—

  • Yakobo 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana yeye asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atapata hukumu yake bila rehema.+ Rehema hufurahi kwa njia ya ushindi juu ya hukumu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki