Zaburi 62:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Pia fadhili zenye upendo ni zako, Ee Yehova,+Kwa maana wewe mwenyewe humlipa kila mmoja kulingana na kazi yake.+ Mathayo 25:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Ndipo atawajibu wao kwa maneno haya, ‘Kwa kweli ninawaambia ninyi, Kwa kadiri ambayo hamkumtendea hilo mmoja wa hawa wadogo zaidi,+ hamkunitendea+ mimi.’+ Ufunuo 22:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “ ‘Tazama! Mimi ninakuja upesi,+ na thawabu+ ninayotoa ipo pamoja nami, ili kumlipa kila mmoja kulingana na matendo yake.+
12 Pia fadhili zenye upendo ni zako, Ee Yehova,+Kwa maana wewe mwenyewe humlipa kila mmoja kulingana na kazi yake.+
45 Ndipo atawajibu wao kwa maneno haya, ‘Kwa kweli ninawaambia ninyi, Kwa kadiri ambayo hamkumtendea hilo mmoja wa hawa wadogo zaidi,+ hamkunitendea+ mimi.’+
12 “ ‘Tazama! Mimi ninakuja upesi,+ na thawabu+ ninayotoa ipo pamoja nami, ili kumlipa kila mmoja kulingana na matendo yake.+