Wakolosai 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 kwa maana mnajua kwamba mtapokea kutoka kwa Yehova+ thawabu inayofaa ya urithi.+ Mtumikieni Bwana, Kristo.+ Ufunuo 22:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “ ‘Tazama! Mimi ninakuja upesi,+ na thawabu+ ninayotoa ipo pamoja nami, ili kumlipa kila mmoja kulingana na matendo yake.+
24 kwa maana mnajua kwamba mtapokea kutoka kwa Yehova+ thawabu inayofaa ya urithi.+ Mtumikieni Bwana, Kristo.+
12 “ ‘Tazama! Mimi ninakuja upesi,+ na thawabu+ ninayotoa ipo pamoja nami, ili kumlipa kila mmoja kulingana na matendo yake.+