22 Kwa maana yeyote katika Bwana aliyeitwa akiwa mtumwa ni mtu aliyewekwa huru wa Bwana;+ vivyo hivyo yeye aliyeitwa akiwa mtu aliye huru+ ni mtumwa+ wa Kristo.
10 Kwa kweli, je, sasa ninajaribu kushawishi wanadamu au Mungu? Au je, ninatafuta kuwapendeza wanadamu?+ Kama ningekuwa bado ninawapendeza wanadamu,+ mimi singekuwa mtumwa+ wa Kristo.