Waefeso 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ambayo ni rehani+ ya kimbele ya urithi+ wetu, kwa kusudi la kuiachilia huru kupitia fidia+ mali+ ya Mungu mwenyewe, kwa sifa yake yenye utukufu. Waebrania 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi ndiyo sababu yeye ni mpatanishi+ wa agano jipya, ili, kwa sababu kifo kimetokea kwa ajili ya wao kuachiliwa huru kwa fidia+ kutoka kwenye makosa chini ya lile agano la zamani,+ wale ambao wameitwa waipokee ahadi ya urithi unaodumu milele.+ 1 Petro 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kwenye urithi usioharibika na usiotiwa unajisi na usiofifia.+ Huo umewekwa akiba mbinguni kwa ajili yenu,+
14 ambayo ni rehani+ ya kimbele ya urithi+ wetu, kwa kusudi la kuiachilia huru kupitia fidia+ mali+ ya Mungu mwenyewe, kwa sifa yake yenye utukufu.
15 Basi ndiyo sababu yeye ni mpatanishi+ wa agano jipya, ili, kwa sababu kifo kimetokea kwa ajili ya wao kuachiliwa huru kwa fidia+ kutoka kwenye makosa chini ya lile agano la zamani,+ wale ambao wameitwa waipokee ahadi ya urithi unaodumu milele.+
4 kwenye urithi usioharibika na usiotiwa unajisi na usiofifia.+ Huo umewekwa akiba mbinguni kwa ajili yenu,+