Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waefeso 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ambayo ni rehani+ ya kimbele ya urithi+ wetu, kwa kusudi la kuiachilia huru kupitia fidia+ mali+ ya Mungu mwenyewe, kwa sifa yake yenye utukufu.

  • Waebrania 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi ndiyo sababu yeye ni mpatanishi+ wa agano jipya, ili, kwa sababu kifo kimetokea kwa ajili ya wao kuachiliwa huru kwa fidia+ kutoka kwenye makosa chini ya lile agano la zamani,+ wale ambao wameitwa waipokee ahadi ya urithi unaodumu milele.+

  • 1 Petro 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwenye urithi usioharibika na usiotiwa unajisi na usiofifia.+ Huo umewekwa akiba mbinguni kwa ajili yenu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki