1 Wakorintho 15:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Kwa maana huu ulio wa kuharibika lazima uvae kutoweza kuharibika,+ na huu unaoweza kufa+ lazima uvae kutoweza kufa. 2 Timotheo 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 lakini sasa zimefanywa kuwa wazi kabisa kupitia ufunuo+ wa Mwokozi wetu, Kristo Yesu, ambaye amefuta kifo+ lakini ameangaza nuru+ juu ya uzima+ na kutoweza kuharibika+ kupitia habari njema,+ 1 Petro 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na mchungaji mkuu+ akiisha kufunuliwa, mtapokea taji la utukufu+ lisiloweza kufifia.+
53 Kwa maana huu ulio wa kuharibika lazima uvae kutoweza kuharibika,+ na huu unaoweza kufa+ lazima uvae kutoweza kufa.
10 lakini sasa zimefanywa kuwa wazi kabisa kupitia ufunuo+ wa Mwokozi wetu, Kristo Yesu, ambaye amefuta kifo+ lakini ameangaza nuru+ juu ya uzima+ na kutoweza kuharibika+ kupitia habari njema,+