11 Basi, ikiwa roho ya yule aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu inakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu+ ataifanya pia miili yenu inayoweza kufa iwe hai+ kupitia roho yake inayokaa ndani yenu.
4 Kwa kweli, sisi tulio katika hema hili tunaugua, tukilemewa; kwa sababu tunataka, si kulivua, bali kuvaa lile lingine,+ ili uhai ukimeze kile kinachoweza kufa.+