-
2 Wakorintho 5:10Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
10 Kwa maana lazima sisi sote tufanywe dhahiri mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mmoja apate thawabu yake kwa mambo yaliyofanywa kuupitia mwili, kulingana na mambo ambayo amezoea, kama ni jambo jema au jambo ovu.
-