Zaburi 52:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mungu mwenyewe pia atakubomoa milele;+Atakupiga na kukuangusha na kukurarua kutoka katika hema lako,+Naye atakung’oa kutoka katika nchi ya walio hai.+ Sela. Luka 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ninawaambia ninyi, Mtu huyu alishuka kwenda nyumbani kwake akiwa amethibitishwa kuwa mwadilifu+ zaidi kuliko yule mwingine; kwa sababu kila mtu anayejiinua atafedheheshwa, bali yule anayejinyenyekeza atainuliwa.”+
5 Mungu mwenyewe pia atakubomoa milele;+Atakupiga na kukuangusha na kukurarua kutoka katika hema lako,+Naye atakung’oa kutoka katika nchi ya walio hai.+ Sela.
14 Ninawaambia ninyi, Mtu huyu alishuka kwenda nyumbani kwake akiwa amethibitishwa kuwa mwadilifu+ zaidi kuliko yule mwingine; kwa sababu kila mtu anayejiinua atafedheheshwa, bali yule anayejinyenyekeza atainuliwa.”+