Zaburi
Kwa kiongozi. Maskili. Ya Daudi, wakati Doegi Mwedomu alipokuja na kumwambia Sauli kwamba Daudi alikuwa ameenda kwenye nyumba ya Ahimeleki.+
52 Kwa nini unajisifia yaliyo mabaya, ewe mwenye nguvu?+
Fadhili zenye upendo za Mungu ni za mchana kutwa.+
2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+
Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+
5 Mungu mwenyewe pia atakubomoa milele;+
Atakupiga na kukuangusha na kukurarua kutoka katika hema lako,+
Naye atakung’oa kutoka katika nchi ya walio hai.+ Sela.
7 Huyo ndiye mwanamume ambaye hamweki Mungu kuwa ngome yake,+
Lakini anategemea wingi wa utajiri wake,+
Ambaye hulindwa kutokana na shida anazoleta.+