Zaburi 28:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana hawajali utendaji wa Yehova,+Wala kazi ya mikono yake.+Yeye atawabomoa wala hatawajenga. Zaburi 37:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana watenda-maovu watakatiliwa mbali,+Bali wale wanaomtumaini Yehova ndio watakaoimiliki dunia.+
9 Kwa maana watenda-maovu watakatiliwa mbali,+Bali wale wanaomtumaini Yehova ndio watakaoimiliki dunia.+