13 Wakati unapotoa kilio cha kuomba msaada vitu vyako ulivyokusanya havitakukomboa,+ bali upepo utavichukulia mbali vyote.+ Pumzi itaviondolea mbali, lakini yule anayenikimbilia+ atairithi nchi naye ataumiliki mlima wangu mtakatifu.+
14 ndipo utakapopata furaha tele katika Yehova,+ nami nitakupandisha mahali pa juu pa dunia;+ nitakufanya ule kutokana na fungu la urithi la Yakobo babu yako,+ kwa maana kinywa chenyewe cha Yehova kimesema hayo.”+