Kumbukumbu la Torati 30:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 kwa kumpenda Yehova Mungu wako,+ kwa kuisikiliza sauti yake na kwa kushikamana naye;+ kwa maana yeye ni uhai wako na urefu wa siku zako,+ ili ukae katika nchi ambayo Yehova aliwaapia mababu zako Abrahamu, Isaka na Yakobo kwamba atawapa wao.”+ Zaburi 37:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana watenda-maovu watakatiliwa mbali,+Bali wale wanaomtumaini Yehova ndio watakaoimiliki dunia.+ Methali 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana wanyoofu ndio watakaokaa duniani,+ na wasio na lawama ndio watakaobaki ndani yake.+ Mathayo 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Wenye furaha ni wale walio na tabia-pole,+ kwa kuwa watairithi dunia.+
20 kwa kumpenda Yehova Mungu wako,+ kwa kuisikiliza sauti yake na kwa kushikamana naye;+ kwa maana yeye ni uhai wako na urefu wa siku zako,+ ili ukae katika nchi ambayo Yehova aliwaapia mababu zako Abrahamu, Isaka na Yakobo kwamba atawapa wao.”+
9 Kwa maana watenda-maovu watakatiliwa mbali,+Bali wale wanaomtumaini Yehova ndio watakaoimiliki dunia.+