Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 kwa kumpenda Yehova Mungu wako,+ kwa kuisikiliza sauti yake na kwa kushikamana naye;+ kwa maana yeye ni uhai wako na urefu wa siku zako,+ ili ukae katika nchi ambayo Yehova aliwaapia mababu zako Abrahamu, Isaka na Yakobo kwamba atawapa wao.”+

  • Zaburi 37:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa maana watenda-maovu watakatiliwa mbali,+

      Bali wale wanaomtumaini Yehova ndio watakaoimiliki dunia.+

  • Methali 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana wanyoofu ndio watakaokaa duniani,+ na wasio na lawama ndio watakaobaki ndani yake.+

  • Mathayo 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Wenye furaha ni wale walio na tabia-pole,+ kwa kuwa watairithi dunia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki